Wednesday, August 8, 2012


                
              SEMA NA MAZINGIRA YAKO

KAMA UNA MAKARA INAYOHUSU MAZINGIRA NA AFYA YA JAMII KWA UJUMLA, TUMA KWA EMAIL IFUATAYO- envirofamilytz@gmail.com UTAPATA FULSA YA MAKALA YAKO KURUSHWA KATIKA BLOG HII INAYOHUSU JAMII NA MAZINGIRA YAKE. KWA KUPITIA BLOG HII, KWA PAMOJA TUNAWEZA KUIFANYA JAMII KUWA NA MTAZAMO SAHII JUU YA MAZINGIRA SAFI NA SALAMA.

  1. FUATA HATUA ZIFUATAZO KWENYE KUTUMA.
  • Andika makala yako kwa makini na lugha sahii
  • Pitia makala yako kwa uangalifu
  • Tuma ujumbe mfupi kwa kutumia Email adress yetu tuliyokupa hapo juu kisha andika jina lako namba ya simu pamoja na eneo unalokaa.
  • Tuma makala yako kwa Email address uliyopatiwa hapo juu.

                                           Imeandaliwa na Phillip Wangwe. 2012.


No comments:

Post a Comment