
GIVE THE WAY WATER TO PASS-YAPE MAJI NJIA YA KUPITA.
Miongoni mwa vitu vinavyo changia uaribifu wa vyanzo vya maji ni pale wanajamii wanapo haribu uasilia wa vyanzo hivyo. Envirofamily Tanzania inawaomba wanajamii kuwa waangalifu dhidi ya huaribifu wa vyanzo hivyo. Mabadiliko ya Tabia Nchi ni miongoni mwa tatizo kubwa linalotawala nyanzo zote katika maisha. Tuwe marafiki na mazingira yetu ili tufanikishe malengo yetu. Envirofamily kupitia Blog hii itatoa mitazamo mbali mbali ikiwemo elimu kwa Jamii husika juu ya swala hili la muhimu katika Dunia yetu.Kutakuwa na mfululizo wa makala kwa muda wa mwezi mmoja, hivyo ndugu waosaji na wafuatiliaji wa blog hii fuatilia mara kwa mara na tunaitaji maoni yako juu ya swala hili. Envirofamily imelenga kushirikisha mawazo ya wanajamii katika kutatua maswala mbalimbali. (Wangwe P. 2012).
Envirofamily Tanzania (2012).
No comments:
Post a Comment