Wednesday, July 25, 2012




ENVIROFAMILY TANZANIA.


Mwanzilishi wa jumuhia hisiyo ya Kiserikari bwana Phillip Wangwe amewaomba wadau mbali mbali wa mazingira kuwa kipao cha mbele katika kujitolea katika maswala mbali mbali ya utunzaji wa mazingira hapa nchini. Hakiongea na wananchi wa eneo la Mbezi beach Hivi karibuni, aliwaomba wadau na wananchi kujitolea kwa hali na mali kulinda na kutunza mazingira. Hatuna haja ya kusubiri wadhamini ilituweze kufanya shughuri hizi za mazingira'Akisema Bwana Phillip Wangwe.

Utamaduni wa kujitolea ni miongoni mwa hatua kubwa iliyofikiwa na Nchi mbali mbali zilizoendelea. Hivi karibuni Mwanzilishi wa Asasi hii Bwana Phillip Wangwe alikuwepo Nchini Norway Kimasomo ndiko alipoona jinsi gani watu wanavyo heshima taratibu zao katika maisha yao ya kila siku. Moja ya jambo muhimu katika maisha ni Mazingira bora na salama. Hakiongea na wadau mbali mbali hizi karibuni alisema''Ni lazima tuwe na mwamko uliyopitiliza kwani hali ya Nchi yetu hizi sasa ni mbaya hasa katika maeneo ya mijini kwani kunajumla ya matatizo mengi yanayoitaji ufumbuzi yakunifu. Moja ya matatizo makubwa ni afya ya wakazi wengi ambalo linatokana na uchafuzi mkubwa katika maeneo ya makazi na biashara.

Tukipenda mazingira, nayo yatatupenda kwani mazingira ni sehemu ya familia zetu, Hivyo ni lazima kila mmoja wetu awe karibu na swala zima la utunzaji wa mazingira.(Phillip w. 2012)

Tuesday, July 24, 2012

Solid waste management in DSM city



Dar-es-salaam is the one of the city in Tanzania which affected much with solid waste disposal. The increasing environmnetal problems is due to the fact that, many people are not aware and some of them are aware but their need to be re-informed on how to take their responsibility to rescue our environment. The increasing problems, like solid waste disposal in urban area become a normal thing and people still ingonal the laws and regulation based on environmental management act. This program is the vital movement of media voice to public and publite responsibilities to rescue the situation.. The fundamental goal of establishment of Public Private Partnerships in solid waste management is for the City Council and Municipalities to maintain the duties of overseeing the service provided by the private firms, enforcement of Municipal by-laws and awareness creation to the general public (DCC, 2004). The awareness needed to all people in right time where they hear radio adverts which tell not to pollute and how to be friendly with environment.Health condition is only fact to be discussed in community level where now days people need awareness to the core issues raised on environment. Malaria, which is responsible for the most deaths in Tanzania, is already being observed in places where its prevalence is traditionally very low. The 2007 NAPA reports, “As a result of change in temperature and rainfall regimes, malaria epidemic has been observed to extend to some parts of Tanga, Kilimanjaro and Arusha highlands (non-traditional malaria areas) where the disease was not prevalent. Many people use mosquito net to prevent them self from malaria, but this is not enough for them to avoid the problem while their still polluting their own environment which become a birth part to support mosquito. The community needs to change their ideology and to know that environment is a part of family member. All this initiatives action