Wednesday, August 8, 2012

     MAJI NI UHAI, TUTUNZE VYANZO VYA MAJI. KWA FAIDA YA SASA NA MAISHA YA BAADAYE.

Ndugu Mtanzania, Jukumu sio la serikari peke yake, bali sote tunahusika. Hakikisha unatunza vyanzo vya maji kwa kutokata miti ovyo, kutochoma moto na kilimo kisicho sahii.Mabadiliko ya tabia Nchi yanapelekea kuwepo kwa matatizo mbalimbali yanayo athiri maisha yetu na viumbe hai vingine hapa duniani.

Mtanzania amka uyapende mazingira yako kwa faida yetu sote. 

No comments:

Post a Comment